Tuesday, May 22, 2012

Airtel yaizindua SUPA 5 ndani ya Coco beach....


Ofa hiyo itawapa wateja zake Huduma ya bure kuperuzi Facebook, Internet bure nyakati za Usiku, SMS 200 pindi wanapotuma SMS 10 kwa Tshs. 30/=, Kuchagua namba tatu na kuongea nazo kwa Nusu shilingi, Kuongea kwa Robo shilingi nyakati  za usiku.....................

0 comments:

Post a Comment