Wednesday, January 11, 2012

IDADI YAFIKA 61 WALIOFUKUZWA UDSM..90 WASIMAMISHWA.

Idadi mpaka leo jioni ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar wafikia 61,na 90 wasimamishwa masomo kwa ajili ya uchunguzi...ni wale waliofanya mgomo.

0 comments:

Post a Comment